Monday, April 13, 2015

Waziri Membe yupo Nchini Quatar Kikazi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernard Membe (Mb.) akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Quatar Mh. Dkt. Khalid Mohamed Al Attiyah, walipokutana na kufanya mazungumzo kuhusu kuendeleza mahusiano kati ya Tanzania na Quatar pia kutangaza Fursa za uwekezaji nchini Tanzania. Waziri Membe yupo nchini Quatar kwa madhumuni ya kushiriki mkutano kuhusu Kuzuia Uhalifu na Haki za Waalifu. 
Mazungumzo yakiendelea
Waziri Membe akiwa Katika picha ya pamoja na Bw. Noel Kaganda Mshauri wa maswala ya kisheria wa Rais wa kikao cha 69 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Mhe. Sam Kahamba Kutesa.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.