Tuesday, April 14, 2015

Mkutano wa Waziri Membe na viongozi wa Kuwait Fund nchini Kuwait katika picha

Mhe. Bernard Membe, Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Kimataifa akisalimiana na Mhe.  Abdulwahab A. Al-Bader, Mkurugenzi wa Mfuko wa Maendeleo wa Kuwait mara baada kuwasili ofisini kwake kwa mkutano leo tarehe 14 Aprili 2015.

Waziri Membe akiwatambulisha wajumbe alioongozana nao kwenye kikao hicho kilichofanyika Kuwait City leo Jumanne tarehe 14 Aprili 2015.


Kikao kikiendelea

Mhe.  Abdulwahab A. Al-Bader, Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo wa Kuwait akipokea maelezo kuhusu Benki ya Maendeleo ya Tanzania kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo Bw. Peter Noni ambaye aliongozana na Mhe. Membe kwenye mkutano huo.




Mhe. Bernard Membe akiwa kwenye picha na Abdulwahab A. Al-Bader, Mkurugenzi wa Mfuko wa Maendeleo wa Kuwait (kati) pamoja na Balozi Yahya Simba, Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati, Wizara ya Mambo ya Nje.


Picha ya pamoja
Ujumbe wa Waziri Membe ukiondoka baada ya kumaliza mkutano na viongozi wa Mfuko wa Maendeleo wa Kuwait - Kuwait Fund.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.