Saturday, September 24, 2016

Wizara yashiriki maadhimisho ya 86 ya Ufalme wa Saudii Arabia

Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Pili ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na Maafisa wa Ubalozi wa Saudi Arabia nchini waliojitokeza kumpokea wakati wa hafla ya kuadhimisha  miaka 86 ya Ufalme wa Saudi Arabia iliyofanyika katika Hoteli ya Hyatt Jijini Dar es Salaam
Kaimu Balozi wa Saud Arabia nchini, Bw. Bandar Abdullah Alhazani akizungumza wakati wa hafla ya maadhimisho ya Siku ya Ufalme wa Saudi Arabia.
Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Kamishna Ngosha Magonya akizungumza wakati wa hafla ya maadhimisho ya Siku ya Ufalme wa Saudi Arabia.
Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Pili ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Ali Hassan Mwinyi  akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi na watendaji wa Serikali na Waheshimiwa Mabalozi walioshiriki maadhimisho hayo

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.