Friday, September 9, 2016

Mkutano wa 17 wa Dharura wa Viongozi Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wamalizika Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza katika Mkutano wa 17 wa Viongozi Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni akizungumza katika Mkutano wa 17 wa Viongozi Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Rwanda Mhe. Paul Kagame akizungumza katika Mkutano wa 17 wa Viongozi Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein akizungumza katika Mkutano wa 17 wa Viongozi Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Ikulu, Jijini Dar es Salaam
Naibu Rais wa Kenya Mhe. William Ruto akizungumza katika Mkutano wa 17 wa Viongozi Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Ikulu Jijini Dar es Salam
Sehemu ya wageni waalikwa wakifuatilia Mkutano

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki akiwa katika picha ya pamoja na Wakuu Wengine wa Nchi Wanachama wa Jumuiya na Wawakilishi.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.