Tuesday, September 6, 2016

Kamati ya Sheria na Kinga ya Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki yakusanya Maoni ya Wadau, Dar es Salaam

Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Sheria na Kinga ya Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe mara baada ya mkutano wa kukusanya maoni ya wadau kuhusu  Mswada wa Sheria ya kuzuia usafirishaji haramu wa Binadamu.
Mbunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki na Mjumbe wa Kamati ya Kinga na Sheria, Mhe. Maryam Ussi (katikati) akizungumza na wadau (hawapo pichani), kushoto ni Mhe. Twaha Taslima,  Mbunge na Mjumbe wa Kamati hiyo na Kulia ni Bw. Ashery Wimile Karani Mwandamizi EALA
Mkurugenzi Msaidizi wa Siasa, Ulinzi na Usalama, Bw. Amani Mwatonoka (Wa kwanza kulia) akichangia hoja kwenye mjadala uliokuwa ukiendelea. 
Mdau akichangia jambo

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.