Thursday, September 8, 2016

Rais Museveni awasili nchini kuhudhuria Mkutano wa Dharura wa EAC

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango akimpokea Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere tayari kwa kuhudhuria Mkutano wa 17 wa Dharura wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki utakaofanyika Ikulu,  Jijini Dar es Salaam tarehe 8/09/2017
Rais Museveni akisalimiana na Kamanda wa Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Mhe. Simon Sirro mara baada ya kuwasili nchini.
Rais Museveni akipita kwenye Gwaride la heshima lililoandaliwa kwa mapokezi yake

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.