Monday, September 5, 2016

Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati akutana kwa mazungumzo na Kaimu Balozi wa S. Arabia nchini

Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Abdallah Kilima (kulia) akisalimiana na Kaimu Balozi wa Saudi Arabia nchini, Bw. Bandau Abdullah Al hazani. Kaimu Balozi huyo alikuja Wizarani kujadili masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Tanzania na Saudi Arabia.
Balozi Kilima akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Kaimu Balozi wa Saudi Arabia nchini Tanzania.
Mazungumzo yakiendelea

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.