Thursday, October 12, 2017

Balozi wa Hispania atembelea Wizara

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Suzan Kolimba (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Hispania nchini Tanzania Filex Costales, katika mazungumzo yao walizungumzia masuala mbalimbali ya mahusiano kati ya Tanzania na Hispania hususani suala la jimbo la Catalonia kutaka kujitenga na Hispania
Mazungumzo yakiendelea.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.