Wednesday, October 25, 2017

Wizara yamtunuku nishani Balozi Kapya

Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Dkt.Aziz P Mlima (kushoto) akimkabidhi nishani Mhe.Balozi David Kapya kutokana na mchango wake wa kushiriki katika utatuzi wa migogoro  katika sehemu mbalimbali Barani Afrika. Mhe. Balozi Kapya amekabidhiwa nishani hiyo katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es  Salaam.

Katibu Mkuu Balozi Dkt.Aziz P Mlima akimpongeza Balozi David Kapya mara baada yakumtunuku nishani kufuatia mchango wake mkubwa wa kushiriki katika utatuzi wa migogoro

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.