Tuesday, October 24, 2017

Waziri Mahiga akutana kwa mazungumzo na Kaimu Balozi wa Marekani nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akizunguzma na Kaimu Balozi wa Marekani nchini, Bi. Inmi Patterson alipofika Wizarani kwa ajili ya mazungumzo kuhusu ushirikiano kati ya Tanzania na Marekani. Mazungumzo hayo yalifanyika tarehe 24 Oktoba, 2017.
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Mary Matari akiwa na Afisa Mambo ya Nje, Bi. Redemptor Tibaigana wakati wa mazungumzo kati ya Waziri Mahiga na Kaimu Balozi wa Marekani (hawapo pichani).
Mazungumzo yakiendelea. Kushoto ni Afisa kutoka Ubalozi wa Marekani.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.