Wednesday, September 26, 2018

Mabalozi na Watu mbalimbali wamiminika kwenye Balozi za Tanzania kusaini vitabu vya maombolezo kufuatia ajali ya MV Nyerere

 Balozi wa Jamhuri ya Korea, Mhe. Lee In-Tae akisaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Tanzania Abuja, Nigeria kufuatia ajali ya kivuko cha Mv. Nyerere ambayo imesababisha vifo, majeruhi na uharibifu wa mali.                                     
 Balozi wa Jamhuri ya Burundi nchini Italia Mhe. Justine Nisubire akisaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Tanzania nchini Italia kufuatia ajali ya kivuko cha Mv. Nyerere ambayo imesababisha vifo, majeruhi na uharibifu wa mali.    
                                 
 Balozi wa Eritrea nchini Italia, Mhe. Fessahafion Pietros akisaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Tanzania nchini Italia kufuatia ajali ya kivuko cha Mv. Nyerere ambayo imesababisha vifo, majeruhi na uharibifu wa mali.                                     
Balozi wa Brazil nchini Uholanzi, Mhe. Regina Maria Cordeiro Dunlop akiweka saini kitabu cha Maombolezo kilichofunguliwa na Ubalozi wa Tanzania nchini Uholanzi kufuatia ajali ya kivuko cha Mv. Nyerere ambayo imesababisha vifo, majeruhi na uharibifu wa mali.                                                                                        
Balozi wa Rwanda nchini Uholanzi, Mhe. Jean-Pierre Karabaranga akiweka saini kitabu cha Maombolezo kilichofunguliwa na Ubalozi wa Tanzania nchini Uholanzi kufuatia ajali ya kivuko cha Mv. Nyerere ambayo imesababisha vifo, majeruhi na uharibifu wa mali.

Mkuu (Dean ) wa Mabalozi ambaye ni Balozi wa Dominica nchini India, Mhe. Frank Hans Dannenberg Castellanos akisaini kitabu cha maombolezo kilichofunguliwa na Ubalozi wa Tanzania kufutia ajali ya Mv. Nyerere iliyosababisha vifo, majeruhi na upotevu wa mali.           

Mkuu (Dean ) wa Mabalozi ambaye ni Balozi wa Dominica nchini India, Mhe. Frank Hans Dannenberg Castellanos akifanya mazungumzo na Mhe. Baraka Luvanda, Balozi wa Tanzania nchini India mara baada ya kumaliza kusaini kitabu cha Maombolezo.

Balozi wa Mali nchini Ufaransa akisaini kitabu cha maombolezo kwenye  Ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa kuomboleza vifo vilivyotokana na ajali ya kuzama kwa kivuko cha M.V Nyerere iliyotokea kwenye Ziwa Victoria, Mkoani Mwanza tarehe 20 Septemba, 2018
Balozi wa Morocco nchini Qatar akisaini kitabu cha maombolezo kwenye  Ubalozi wa Tanzania nchini humo kuomboleza vifo vilivyotokana na ajali ya  kuzama kwa kivuko cha M.V Nyerere iliyotokea kwenye Ziwa Victoria, Mkoani Mwanza tarehe 20 Septemba, 2018

Balozi wa Iraq nchini Qatar akisaini kitabu cha maombolezo kwenye  Ubalozi wa Tanzania nchini humo kuomboleza vifo vilivyotokana na ajali ya  kuzama kwa kivuko cha M.V Nyerere iliyotokea kwenye Ziwa Victoria, Mkoani Mwanza tarehe 20 Septemba, 2018

Balozi wa Kyrgyzstan nchini Qatar akisaini kitabu cha maombolezo kwenye  Ubalozi wa Tanzania nchini humo kuomboleza vifo vilivyotokana na ajali ya kuzama kwa kivuko cha M.V Nyerere iliyotokea kwenye Ziwa Victoria, Mkoani Mwanza tarehe 20 Septemba, 2018

Kiongozi wa Watanzania waishio Qatar naye akisaini kitabu cha maombolezo kilichofunguliwa kwenye Ubalozi wa Tanzania nchini Qatar
Balozi wa Cuba nchini Qatar akisaini kitabu cha maombolezo kwenye  Ubalozi wa Tanzania nchini humo kuomboleza vifo vilivyotokana na ajali ya kuzama kwa  kivuko cha M.V Nyerere iliyotokea kwenye Ziwa Victoria, Mkoani Mwanza tarehe 20 Septemba, 2018


Balozi mstaafu wa Comoro nchini Qatar akisaini kitabu cha maombolezo kwenye  Ubalozi wa Tanzania nchini humo kuomboleza vifo vilivyotokana na ajali ya  kuzama kwa kivuko cha M.V Nyerere iliyotokea kwenye Ziwa Victoria, Mkoani Mwanza tarehe 20 Septemba, 2018


Balozi wa Uswisi nchini Qatar akisaini kitabu cha maombolezo kwenye  Ubalozi wa Tanzania nchini humo kuomboleza vifo vilivyotokana na ajali ya  kuzama kwa kivuko cha M.V Nyerere iliyotokea kwenye Ziwa Victoria, Mkoani Mwanza tarehe 20 Septemba, 2018



Balozi wa Tanzania nchini Qatar, Mhe. Fatma Rajab akiwa na Balozi wa Uswisi nchini humo alipofika Ubalozini kwa ajili ya kusaini kitabu cha maombolezo

Balozi wa Eswatini nchini Qatar akisaini kitabu cha maombolezo kwenye  Ubalozi wa Tanzania nchini humo kuomboleza vifo vilivyotokana na ajali ya  kuzama kwa kivuko cha M.V Nyerere iliyotokea kwenye Ziwa Victoria, Mkoani Mwanza tarehe 20 Septemba, 2018

Balozi wa Kenya nchini Qatar akisaini kitabu cha maombolezo kwenye  Ubalozi wa Tanzania nchini humo kuomboleza vifo vilivyotokana na ajali ya kuzama kwa kivuko cha M.V Nyerere iliyotokea kwenye Ziwa Victoria, Mkoani Mwanza tarehe 20 Septemba, 2018


Balozi wa Afrika Kusini nchini Qatar akisaini kitabu cha maombolezo kwenye  Ubalozi wa Tanzania nchini humo kuomboleza vifo vilivyotokana na ajali ya kuzama kwa   kivuko cha M.V Nyerere iliyotokea kwenye Ziwa Victoria, Mkoani Mwanza tarehe 20 Septemba, 2018



Balozi wa Ghana nchini Qatar akisaini kitabu cha maombolezo kwenye  Ubalozi wa Tanzania nchini humo kuomboleza vifo vilivyotokana na ajali ya kuzama kwa kivuko cha M.V Nyerere iliyotokea kwenye Ziwa Victoria, Mkoani Mwanza tarehe 20 Septemba, 2018

Balozi wa Japan nchini Rwanda akisaini kitabu cha maombolezo kwenye  Ubalozi wa Tanzania nchini humo kuomboleza vifo vilivyotokana na ajali ya  kuzama kwa kivuko cha M.V Nyerere iliyotokea kwenye Ziwa Victoria, Mkoani Mwanza tarehe 20 Septemba, 2018. Pembeni anayeshuhudia ni Balozi wa Tanzania nchini Rwanda, Mhe. Ernest Mangu


Kiongozi wa ujumbe wa Umoja wa Ulaya kwenye Ofisi za Umoja wa Mataifa mjini Geneva, Uswisi, Balozi Walter Stevens akisaini kitabu cha maombolezo kwenye  Ubalozi wa Tanzania nchini humo kuomboleza vifo vilivyotokana na ajali ya  kuzama kwa kivuko cha M.V Nyerere iliyotokea kwenye Ziwa Victoria, Mkoani Mwanza tarehe 20 Septemba, 2018

          




No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.