Wednesday, January 30, 2019

Tanzania yavutia makampuni ya Saudi Arabia kuja kuangalia fursa za uwekezaji

Baadhi ya wafanyabiashara wa Saudi Arabia wakisikiliza mada kuhusu fursa,vivutio, sheria na  kanuni  za  uwekezaji nchini  katika kongamano lililofanyika Jumatano tarehe 30 Januari, 2019, jijini Dar es salaam. Ziara hiyo inatokana na juhudi za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Africa Mashariki  kupitia Ubalozi wa Saudi Arabia na wadau wengine wa Kushawishi wafanyabiashara wakubwa kuja kuwekeza nchini katika sekta mbalimbali.



Afisa Uhamasishaji Uwekezaji (TIC) Bi Diana Mwamanaga akiwasilisha mada katika kongamano hilo.


Baadhi ya wawakilishi wa taasisi za serikali wakifuatilia mada zilizokuwa zikiwasilishwa.

Afisa Mipango na Uwekezaji wa Shirika la Viwanda Vidogo(SIDO) Bi. Johari Masenge  akiwasilisha mada katika kongamano hilo.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.