| Sehemu ya Wakurugenzi kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakiwa kwenye kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama |
| Mjumbe wa Kamati, Mhe. Fakharia Shomar Khamis nae akichangia hoja wakati wa kikao kati ya Kamati ya NUU na Wizara |
| Sehemu nyingine ya Wakurugenzi kutoka Wizarani wakifuatilia kikao |
| Wakurugenzi kutoka Wizarani wakisoma nyaraka mbalimbali wakati wa kikao |
| Juu na chini ni Wakurugenzi kutoka Wizarani |
| Wajumbe wa Kamati ya NUU wakifuatilia kikao |
| Kikao kati ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki |
| Mjumbe wa Kamati, Mhe. Prosper Mbena akichangia jambo wakati wa kikao |
| Mjumbe wa Kamati, Mhe. Janeth Masaburi nae akichangia jambo |
| Mhe. Mboni Mhita ambaye ni Mjumbe wa Kamati akitoa ushauri kwa Wizara kuhusu kuboresha masuala mbalimbali katika kutekeleza Diplomasia ya Uchumi |
| Mjumbe wa Kamati ya NUU, Mhe. Shamsi Vuai Nahodha nae akizungumza |
| Wajumbe wa Kamati wakifuatilia kikao |
| Watumishi kutoka Wizarani wakifuatilia kukao |
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.