Thursday, February 28, 2019

Watumishi wa Mambo ya Nje wahimizwa kuzingatia sheria za utumishi wa umma


Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Faraji Kasidi Mnyepe akizungumza kwenye kikao cha pili na Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (hawapo pichani) Pamoja na mambo mengine amewataka Watumishi hao kuendelea kufanya kazi kwa bidii, weledi na kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na miongozo iliyopo. Kikao hicho kilifanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano  wa Wizara uliopo Chuo Kikuu cha Dodoma hivi karibuni
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Bibi Savera Kazaura akizungumza wakati wa kikao hicho
Sehemu ya Watumishi wa Wizara wakiwemo Wakuu wa Idara 
Balozi Mteule, Dkt. Mpoki Ulusubisya akitoa mada kuhusu afya kwa Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (hawapo pichani) wakati wa kikao kati yao na Katibu Mkuu wa Wizara. Pamoja na mambo mengine aliwashauri Watumishi kuwa na utratibu wa kupima afya zao mara kwa mara.
Sehemu ya Watumishi wa Wizara wakiwemo Wakuu wa Idara na Vitengo wakifuatilia mada
Sehemu ya Wakuu wa Idara na Vitengo wa Wizara

Sehemu nyingine ya Wakuu wa Idara na Vitengo

Wakuu wa Vitengo akifuatilia mkutano

Wakurugenzi wakiwa kwenye mkutano

Mkutano ukiendelea

Sehemu ya Watumishi wakifuatilia mkutano

Watumishi wakiwa kwenye mkutano

Mkutano ukiendelea

Sehemu nyingine ya Watumishi wakati wa mkutano

Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakiwa kwenye mkutano na Katibu Mkuu.






No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.