Friday, February 15, 2019

Tanzania na Uganda zajadili Kuboresha Sekta ya Uchukuzi


Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Dkt Aziz P. Mlima akiwa katika mazungumzo  na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Uganda Mheshimiwa Mhandisi Monica Ntega  mjini Kampala ambapo walizungumzia changamoto na fursa zilizopo kwa nchi mbili kwenye sekta ya uchukuzi, reli na bandari na ushoroba wa kati. Mazungumzo hayo pia yalihidhuriwa na Waziri wa Nchi wa Ujenzi wa Uganda Jenarali Edward Katumba Wamala.

Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Dkt Aziz P. Mlima akimkabidhi zawadi ya kahawa ya Tanzania Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Uganda, Mheshimiwa Mhandisi Monica Ntega baada ya mazungumzo yao  mjini Kampala

 Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Dkt Aziz P. Mlima akiwa na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Uganda, Mheshimiwa Mhandisi Monica Ntega  mjini Kampala na Waziri wa Nchi wa Ujenzi wa Uganda Jenarali Edward Katumba Wamala.
Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Mhe.  Dkt Aziz P. Mlima akiagana na  Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Uganda, Mheshimiwa Mhandisi Monica Ntega baada ya mazungumzo yao  mjini Kampala

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.