Tuesday, February 5, 2019

Jengo la Ofisi ya Wizara ya Mambo ya Nje lasonga kwa kasi Dodoma


Mafundi wakiwa katika harakati kuhakikisha kuwa jengo linamalizika kwa wakati.

Linapendeza kweli kweli.

Palasta inaendelea kupigwa.

Kumenoga, tazama mwenyewe.

Kazi nje na ndani. Usiku na mchana. Mtumba Oyeeeee.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.