Wednesday, February 13, 2019

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana na Balozi wa Namibia nchini.


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Damas Ndumbaro (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Namibia Mhe. Balozi Theresia Samaria.  Mazungumzo hayo  ambayo yalijikita kwenye masuala ya kuimarsha ushirikiano kati ya nchi hizi mbili,  yamefanyika katika Ofisi ndogo ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki jijini Dar es Salaam tarehe 13 Februari 2019.
Mazungumzo yakiendelea.







No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.