Tuesday, April 9, 2019

Prof. Kabudi ahimiza wawekezaji kutoka nchi za Nordic kuja kuwekeza Tanzania

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Prof.  Palamagamba John Kabudi (Mb.), leo tarehe 9 Aprili, 2019 akiwa jijini Dodoma amefungua rasmi Kongamano la kwanza la Uwekezaji pamoja na Mkutano wa mwaka wa Diaspora wa Tanzania linalofanyika nchini Sweden. Ufunguzi wa kongamano hilo ulirushwa moja kwa moja na  Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC1). Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Faraji Kasidi Mnyepe.

 Waziri  wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Prof. Palamagamba John Kabudi, akiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Kasidi Faraji Mnyepe, wakifuatilia kongamano hilo lililorushwa moja kwa moja na TBC 1 huku wao wakiwa Dodoma.

Kongamano likiendelea.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.