Thursday, March 2, 2023

MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA VIONGOZI MBALIMBALI NCHINI AZERBAIJAN

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango akiwa na Naibu Waziri Mkuu wa Azerbaijan, Mhe. Shahin Mustafayev. Viongozi hao walifanya mazungumzo pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya Isiyofungamana na Upande Wowote (NAM) unaofanyika Baku, Azerbaijan
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango akiwa katika mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa Azerbaijan, Mhe. Shahin Mustafayev. Mazungumzo hayo yalifanyika pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya Isiyofungamana na Upande Wowote (NAM) unaofanyika Baku, Azerbaijan
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango akiwa na Naibu Waziri Mkuu wa Azerbaijan, Mhe. Shahin Mustafayev.Vingozi hao walifanya mazungumzo  pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya Isiyofungamana na Upande Wowote (NAM) unaofanyika Baku, Azerbaijan


Dkt. Mpango na Makamu wa Rais wa Cuba

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (kushoto) akisalimiana na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Cuba, Mhe. Salvador Valders Mesa. Viongozi hao walikutana kwa mazungumzo pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya Isiyofungamana na Upande Wowote (NAM) unaofanyika Baku, Azerbaijan 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (kushoto) akiwa katika mazungumzo na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Cuba, Mhe. Salvador Valders Mesa. Mazungumzo hayo yamefanyika pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya Isiyofungamana na Upande Wowote (NAM) unaofanyika Baku, Azerbaijan 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (kushoto) akimpa zawadi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Cuba, Mhe. Salvador Valders Mesa. Viongozi hao wamekutana kwa mazungumzo pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya Isiyofungamana na Upande Wowote (NAM) unaofanyika Baku, Azerbaijan 




No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.