Friday, April 28, 2023

RAIS KAGAME AHITIMISHA ZIARA YA KIKAZI NCHINI

Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam wakati akiondoka kurejea nchini Rwanda


Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame akiagana na viongozi mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam kabla ya kurejea nchini Rwanda

Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame akiagana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam

Viongozi mbalimbali wakiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax wakimuaga Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam

Ndege ya Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame na ujumbe wake ikiwa tayari kuondoka katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam kurejea nchini Rwanda

Ndege ya Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame na ujumbe wake ikiondoka katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam kurejea nchini Rwanda



 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.