Thursday, February 26, 2015

Naibu Waziri Azindua Kitabu kuhusu Jumuiya ya Afrika Mashariki


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Dkt. Maadhi Juma Maalim akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa Kitabu chake "The United Republic of Tanzania in the East African Community, Legal Challenges in Integrating ZanzibarKitabu hicho  kinazungumzia nafasi ya Zanzibar ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na na ndani ya Africa Mashariki,  muundo wa muungano, chanagamoto na mafanikio na hatimaye kuelekea kwenye shirikisho la Afrika Mashariki. 
Prof. Gordon Woodman (wa kwanza kushoto), katikati ni Prof. Josephat L. Kanywanyi, wa kwanza kulia ni Dkt.Mapunda wakimsikiliza Dkt. Maadhi akitoa maelezo ya ufafanuzi kuhusu kitabu hicho.


Sehemu ya wageni waliohudhuria Hafla hiyo

Picha ya Pamoja
Naibu Waziri Dkt. Maadhi akipongezwa na  Jan-Dieter Gosink kutoka Ubalozi wa Ujurumani Nchini Tanzania
Dkt. Maadhi Juma Maalim akiwa katika picha ya Pamoja na Prof Woodman katika hafla ya uzinduzi wa kitabu.
Mhe. Dkt.Mahadhi akisalimiana na wageni waalikwa waliohudhuria hafla hiyo.
Prof. Wanitzek akiwaeleza jambo Pro. Josephat L. Mnywanyi pamoja na Dkt. Mongela
 Prof. Bonaventure Rutinwa (pili kulia) akifurahia uzinduzi wa kitabu kilichoandikwa na Dkt. Maadhi Juma Maalim ( pili kutoka Kushoto) pamoja na Dkt. Mongela ( kwanza kutoka kushoto), katikati ni Prof. Wanitzek, na wakwanza kulia ni Dkt. Mapunda
Dkt. MaadhiJuma Maalim akimsikiliza Dkt. Lilian Mihayo Mongela, wa kwanza kulia ni Dkt. Anatole Nahayo
Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Wakwanza kulia), Dkt. Anatole Nahayo (Wa Kwanza Kushoto) na Katikati ni Dkt. Lilian Mihayo Mongela wakiwa katika Picha ya Pamoja na Vitabu vitabu walivyoandika.

Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.