Wednesday, February 25, 2015

Mkuu wa Mkoa wa Arusha atembelea Wizara ya Mambo ya Nje

Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Irene Kasyanju (kulia) akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Filex Daud Ntibenda, walipo kutana ofisini kwa Balozi leo. Wawili hao walijadili maendeleo ya ujenzi wa miundombinu katika eneo la lakilaki jijini Arusha ambalo limetengwa kwa ajili ya ujenzi wa Taasisi za Kimataifa.
Wakwanza kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati, Balozi Hassan Simba Yahaya akifuatilia mazungumzo.  
Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia Balozi Mbelwa Kairuki akisikiliza mazungumzo hayo kwa makini
Afisa Mambo ya Nje Bw. Elisha Suku akifuatilia kwa umakini mazungumzo kati ya Balozi Kasianju na Mhe. Ntibenda Mkuu wa Mkoa wa Arusha



Mazungumzo yakiendelea


Picha na Reginald Kisaka

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.