Friday, February 27, 2015

Naibu Katibu Mtendaji wa ICGLR atembelea Wizara ya Mambo ya Nje

Kaimu Katibu mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Rajabu Gamaha akizungumza na Naibu Katibu Mtendaji Mhe. Vicente Mwanda wa Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR), alipomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kikanda Bwa. Innocent Shiyo (Wa kwanza Kushoto), katikati ni Afisa Mambo ya Nje Bi. Grace Martin, na wakwanja kulia ni Bwa. Ally Ubwa Afisa Mambo ya Nje wakiwa katika mazungumzo hayo kati ya Balozi Gamaha na Bwa.Vicente Mwanda (Hawapo pichani) 

Bwa. Robert Simukoko afisa aliyeambatana na Naibu Katibu Mtendaji

Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.