Monday, February 15, 2016

Wizara yashiriki kipindi cha Televisheni "The Monday Agenda" kuzungumzia majukumu ya Wizara




Mkurugenzi wa Chuo cha Diplomasia, Balozi Mohamed Maundi(kati) akiwa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Bi. Mindi Kasiga wakipewa utaratibu kabla ya kuanza mahojiano na Mtangazaji wa Capital TV, Bw. Frank Morandi (kushoto) walipofika Ofisi za ITV na Radio One. Mahojiano hayo yatarushwa kupitia Kituo cha Televisheni cha CAPITAL  katika kipindi cha "The Monday Agenda" tarehe 15 Februari, 2016 saa 2:45 usiku.
Wakiwa Studio muda mfupi kabla ya mahojiano kuanza.
Balozi Maundi na Bi. Kasiga wakipwa katika picha ya pamoja na Mtangazaji wa kipindi cha The Monday Agenda, Bw. Morandi mara baada ya kukamilisha mahojiano yaliyofanyika kwenye  Ofisi za ITV na Radio One, Jijini Dar es Salaam










No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.