Friday, August 23, 2019

Naibu Waziri Mhe.Dkt Damas Ndumbaro afanya mazungumzo na Mabalozi


Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (kulia) akiwa katika mazungumzo na Mhe.Yonas Yosef Sanbe Balozi wa Ethiopia nchini Tanzania yaliyofanyika katika ofisi ndogo ya Wizara, jijini Dar es Salaam Agosti 23, 2019

Baloz Sanbe katika mazungumzo hayo ameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuna kuganishwa Mkunao wa SADC HAPA
Mhe. Dkt Ndumbaro Naibu Waziri akiwa katika mazungumzo na Mhe. Balozi Sanbe walipokutana kwa mazungumzo.
Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (kulia) akimsikiliza Mhe. Mousa Farhang Balozi wa Iran nchini, walipokutana kwa mazungumzo ofisi ndogo za Wizara jiji Dar es Salaam.

 Katika mazungumzo yao, waliwili hao walijikita kujadili masuala mbalimbali ya kuendeleza ushirikiano wa kidiplomasia baina ya nchi hizi mbili. 
Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (kulia) akisalimiana na  Mhe. Mousa Farhang Balozi wa Iran nchini Tanzania
Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (kulia) akimsikiliza Mhe. Abdelilah Benryane Balozi wa Morocco nchini Tanzania
Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakati akifanya mazungumzo  na Balozi wa Morocco Mhe. Abdelilah Benryane
Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (kulia) akisalimia na Mhe. Abdelilah BenryaneBalozi wa Morocco

Wakati huohuo Mhe. Pro. Palamagamba Kabudi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikano wa Afrika Mashariki amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania  Mhe. Wang Ke
Sehemu ya Wafanyakazi wa Ubalozi wa China wakifuatilia mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea

Mhe. Pro. Palamagamba Kabudi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikano wa Afrika Mashariki akiwa katika mzungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania  Mhe. Wang Ke yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Agosti 23, 2019

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.