Friday, August 2, 2019

TANZANIA NA ZIMBABWE ZASAINI HATI 5 ZA MAKUBALIANO YA PAMOJA

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamgamba John Kabudi (Mb) na Waziri wa mambo ya Nje wa Zimbabwe Luten Jenerali Mstaafu Sibusiso Moyo wakisaini hati za makubaliano ya pamoja (MoU) katika Nyanja mbalimbali. Tukio hilo limefanyika Harare,Zimbabwe
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamgamba John Kabudi (Mb) na Waziri wa mambo ya wanawake,Jinsia na Maendeleo ya Jamii Mhe. Sithembiso Gile Nyoni wakisaini hati za makubaliano ya pamoja (MoU) katika Nyanja ya jinsia na kuwawezesha wanawake  Tukio hilo limefanyika Harare,Zimbabwe
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamgamba John Kabudi (Mb) na Waziri wa mambo ya Nje wa Zimbabwe Luten Jenerali Mstaafu Sibusiso Moyo wakisaini hati za makubaliano ya pamoja (MoU) wakionesha kwa furaha hati za makubaliano ya pamoja (MoU) kati ya Tanzania na Zimbabwe mara bade ya kusaini hati hizo. Tokio hilo limefanyika Harare,Zimbabwe.
Baadhi ya wajumbe waliohudhuria Mkutano wa Tume ya Pamoja ya Kudumu ya Ushirikiano kati ya Tanzania na Zimbabwe (JPCC). Mkutano huo umefanyika Harare,Zimbabwe
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamgamba John Kabudi (Mb) na Waziri wa mambo ya Nje wa Zimbabwe Luten Jenerali Mstaafu Sibusiso Moyo,wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe judoka Tanzania na Zimbabwe mara bade ya kumalizika Mkutano wa Tume ya Pamoja ya Kudumu ya Ushirikiano kati ya Tanzania na Zimbabwe. Mkutano huoumefanyika Harare,Zimbabwe





No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.