Saturday, August 3, 2019

WATUMISHI WA UMMA NA MAAFISA ITIFAKI WAPATA MAFUNZO KUHUSU UTOAJI WA HUDUMA SADC

Wakufunzi wa mafunzo kwa watumishi wa umma na Maafisa Itifaki watakaotoa huduma kwa wageni watakaoshiriki Mkutano wa 39 wa SADC wakimsikiliza mtoa mada (hayupo pichani) wakati wa mafunzo hayo. Mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa mkutano wa kimataifa wa Julius Nyerere,Dar es Salaam. 03 August,2019.

Baadhi ya watumishi wa umma na Maafisa Itifaki waliohudhuria mafunzo maalum ya namna yakuwahudumia wageni wa mkutano wa SADC wa 39 yaliyoratibiwa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa kimataifa wa Julius Nyerere,Dar es Salaam. 03 August 2019.

Baadhi ya watumishi wa umma na Maafisa Itifaki waliohudhuria mafunzo maalum kuhusu namna yakuwahudumia wageni wa mkutano wa SADC wa 39 wakifuatilia mafunzo hayo yaliyoratibiwa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa kimataifa wa Julius Nyerere,Dar es Salaam. 03 August 2019.

Add caption

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.