Tuesday, July 13, 2021

BALOZI MULAMULA AKUTANA NA BALOZI WA MSUMBIJI HAPA NCHINI BALOZI RICARDO MTUMBUIDA

 



Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Msumbiji hapa Nchini Balozi Ricardo Mtumbuida. Balozi Ricardo amekutana na Balozi Mulamula kwa lengo la kujitambulisha kwake na kuzungumzia maeneo ya kipaumbele ya kushirikiana ili kuimarisha mahusiano kati ya Tanzania na Msumbiji
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Msumbiji hapa Nchini Balozi Ricardo Mtumbuida
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwa anafafanua jambo kwa Balozi wa Msumbiji hapa Nchini Balozi Ricardo Mtumbuida
Balozi wa Msumbiji hapa Nchini Balozi Ricardo Mtumbuida akimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) hayupo pichani walipokutana kwa mazungumzo

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.