Wednesday, July 7, 2021

BALOZI LIBERATA MULAMULA ASHIRIKI MKUTANO WA 23 WA KAMATI YA MAWAZIRI WA ASASI YA SIASA,ULINZI NA USALAMA YA SADC

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwa na Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. George Simbachawene katika mkutano wa 23 wa Kamati ya Mawaziri wa Asasi ya Siasa,Ulinzi na Usalama (MCO) unaofanyika kwa nia ya mtandao. Nyuma ya Mawaziri hao aliyevaa barokoa ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Joseph Edward Sokoine

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwa na Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. George Simbachawene (Mb) wakifuatilia kwa karibu mjadala unaoendelea katika mkutano wa 23 wa Kamati ya Mawaziri wa Asasi ya Siasa,Ulinzi na Usalama (MCO) unaofanyika kwa nia ya mtandao. Nyuma ya Mawaziri hao aliyevaa barokoa ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Joseph Edward Sokoine


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwa na Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. George Simbachawene (Mb) pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Joseph Edward Sokoine (aliyevaa barokoa nyeupe) wakiwa pamoja na ujumbe wa Tanzania katika kutano wa 23 wa Kamati ya Mawaziri wa Asasi ya Siasa,Ulinzi na Usalama (MCO) unaofanyika kwa nia ya mtandao



 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.