Tuesday, July 13, 2021

BALOZI WA SOMALIA NCHINI TANZANIA, BALOZI ABDI MOHAMED HUSSEIN AAGA BAADA YA KUMALIZA MUDA WAKE WA UWAKILISHI HAPA NCHINI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akizungumza na Balozi wa Somalia hapa Nchini Balozi Abdi Mohamed Hussein. Balozi Abdi Mohamed Hussein amefika kuagana na Balozi Mulamula baada ya kumaliza muda wake wa uwakilishi hapa Nchini

Balozi wa Somalia hapa Nchini Balozi Abdi Mohamed Hussein akisisitiza jambo wakati alipokutana na kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) (hayupo pichani


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akizungumza na Balozi wa Somalia hapa Nchini Balozi Abdi Mohamed Hussein.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akimkabidhi zawadi  Balozi wa Somalia hapa Nchini Balozi Abdi Mohamed Hussein.Balozi Abdi Mohamed Hussein amefika kuagana na Balozi Mulamula baada ya kumaliza muda wake wa uwakilishi hapa Nchini


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiagana na  Balozi wa Somalia hapa Nchini Balozi Abdi Mohamed Hussein. Balozi Abdi Mohamed Hussein ameaga baada ya kumaliza muda wake wa uwakilishi hapa Nchini
 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.