Thursday, July 8, 2021

BALOZI MULAMULA ASHIRIKI MKUTANO 112 WA BARAZA LA MAWAZIRI WA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA NCHI ZA AFRIKA,CARIBBEAN NA PACIFIC

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwa na ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mkutano wa 112 wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Nchi za Afrika,Caribbean na Pacific  unaofanyika kwa njia ya mtandao 

Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Mhandisi Zena Ahmed Said akifuatilia mjadala katika Mkutano wa 112 wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Nchi za Afrika,Caribbean na Pazific unaofanyika kwa njia ya mtandao - Dar es Salaam

Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Mhandisi Zena Ahmed Said (kushoto) akiwa na Kamishna wa fedha za Nje wa Wizara ya feda na Mipango Bi Sauda Msemwa (katikati) pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika Bw. Hassan Mwamweta wakifuatilia mjadala katika Mkutano wa 112 wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Nchi za Afrika,Caribbean na Pazific unaofanyika kwa njia ya mtandao - Dar es Salaam




 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.