Saturday, July 3, 2021

MAREKANI YAADHIMISHA MIAKA 245 YA UHURU

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akisalimiana na Balozi wa Marekani hapa Nchini Dkt. Donald Wright mara baada ya kuwasili katika makazi ya Balozi huyo Dar Es Salaam kushiriki katika hafla ya miaka 245 ya Uhuru wa marekani
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwa pamoja na Balozi wa Marekani hapa Nchini Dkt. Donald Wright wakiimba wimbo wa Taifa la Marekani katika maadhimisho ya miaka 245 ya Uhuru wa Taifa la Marekani. Hafla hiyo imefanyika katika makazi ya Balozi huyo Jijini Dar Es Salaam
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwa pamoja na Balozi wa Marekani hapa Nchini Dkt. Donald Wright wakiimba wimbo wa Taifa la Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania wakati wa maadhimisho ya miaka 245 ya Uhuru wa Taifa la Marekani. Hafla hiyo imefanyika katika makazi ya Balozi huyo Jijini Dar Es Salaam
Balozi wa Marekani hapa Nchini Dkt. Donald Wright akisoma risala katika maadhimisho ya miaka 245 ya Uhuru wa Taifa la Marekani yaliyofanyika Jijini Dar Es Salaam katika makazi ya Balozi huyo. Kushoto aliyekaa ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) ambale ni mgeni rasmi katika maadhimisho hayo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiinua glasi dhidi ya Balozi wa Marekani hapa Nchini Dkt. Donald Wright ikiwa ni ishara ya kutakiana heri katika maadhimisho ya miaka 245 ya Uhuru wa Taifa la Marekani yaliyofanyika Jijini Dar Es Salaam katika makazi ya Balozi huyo

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb)akisoma risala katika maadhimisho ya miaka 245 ya Uhuru wa Taifa la Marekani yaliyofanyika Jijini Dar Es Salaam katika makazi ya Balozi wa Marekani hapa Nchini Dkt. Donald Wright

Hadhira  ya Wageni waalikwa katika maadhimisho ya miaka 245 ya Uhuru wa Taifa la Marekani yaliyofanyika Jijini Dar Es Salaam katika makazi ya Balozi wa Marekani hapa Nchini Dkt. Donald Wright wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb)

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.