Thursday, July 8, 2021

BALOZI MULAMULA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MWAKILISHI MKAZI WA WHO

Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Dkt. Tigest Ketsela Mengestu ambapo pamoja na mambo mengine wamezungumzia juu ya masuala ya mapambano dcidi ya ugonjwa wa Corona
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Dkt. Tigest Ketsela Mengestu akimsikiliza mwenyeji wake Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) hayupo pichani walipokutana kwa jailli ya mazungumzo


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Dkt. Tigest Ketsela Mengestu mara baada ya mazungumzo

 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.