Thursday, July 22, 2021

WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI BALOZI LIBERATA MULAMULA (Mb) AMEKUTANA NA WAZIRI MKUU MSTAAFU WA UINGEREZA MHE. TONY BLAIR

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti Mtendaji wa Taasisi ya Mabadiliko Ulimwenguni (Tony Blair Institute for Global Change) ambaye pia ni Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza Mhe. Tony Blair.

Mhe. Blair baadae atakutana kea mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Ikulu - Dar es Salaam.


 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwa na  Mwenyekiti Mtendaji wa Taasisi ya Mabadiliko Ulimwenguni (Tony Blair Institute for Global Change) ambaye pia ni Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza Mhe. Tony Blair pamoja na ujumbe uliombatana nae.

Mhe. Blair baadae atakutana kea mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Ikulu - Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.