Monday, July 5, 2021

BALOZI MULAMULA ATEMBELEA MAONESHO YA SABSABA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) alipowasili katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere kutembelea maonesho ya 45 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) kujionea shughuli zinazoendelea katika maonesho hayo


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwa katika banda la Chuo cha Diplomasia alipotembelea banda hilo kwenye maonesho ya Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwa katika banda la Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki alipotembelea banda hilo kwenye maonesho ya Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam

 

Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Bw. Emmanuel Buhohela akimueleza jambo Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula katika banda la Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwenye maonesho ya Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula katika picha moja na watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwenye maonesho ya Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam











No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.