Thursday, January 18, 2024

BALOZI NAIMI AZIZI AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO UNIDO


Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Austria, Mheshimiwa Naimi Aziz amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya Viwanda (UNIDO), Mhe. Gerd Müller, tarehe 18 Januari, 2024. Katika mazungumzo yao, wamekubaliana kuimarisha na kudumisha ushirikiano kati ya Tanzania na UNIDO hususan katika maendeleo ya viwanda.


Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania  Austria, Mhe. Naimi Aziz akiwa kwenye picha ya pamoja na  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya Viwanda (UNIDO) Mhe. Gerd Müller.

Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania  Austria, Mhe. Naimi Aziz akiwa kwenye picha ya pamoja na  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya Viwanda (UNIDO) Mhe. Gerd Müller.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.