Saturday, January 27, 2024

WAZIRI MAKAMBA KUMWAKILISHA MHE. RAIS SAMIA KATIKA MKUTANO WA NNE WA WAKUU WA NCHI WA AFRIKA NA ITALIA





Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba (Mb.) akipokelewa na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Italia, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Leonardo Da Vinci, Roma Italia.




Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba (Mb.) akiteta jambo na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Italia, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Leonardo Da Vinci, Roma Italia.



No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.