Mazungumzo yakiaendelea, wengine katika picha, kutoka kulia ni Bw. Elisha Suku na Balozi Baraka Luvanda ambao ni maafisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje. Pembeni kwa Bw. Shamumoyo ni maafisa wa ALAT. |
Thursday, February 4, 2016
Balozi Mwinyi akutana na Katibu Mtendaji wa ALAT
Wednesday, February 3, 2016
Monday, February 1, 2016
Kampuni Binafsi za Tanzania zashiriki Maenesho ya Utalii nchini Uholanzi
|
Thursday, January 28, 2016
Naibu Katibu Mkuu akutana kwa mazungumzo na Balozi wa Comoro nchini
Balozi Fakih naye akimwelezea jambo Balozi Muombwa (Kulia) wakati wa mazungumzo yao. |
Picha na Reginald Philip
Wednesday, January 27, 2016
India marks 67th years of Independence
Permanent Secretary (R) and Indian High Commissioner toasting for the progress and prosperity of their Nations. |
Indian High Commissioner (L) receives invited guests at the ceremonies hall. |
Permanent Secretary, Dr. Mlima (R) chats with ambassadors prior to the official opening of an event. |
Tuesday, January 26, 2016
Dkt. Mlima akutana na Katibu Mkuu wa EAC
Katibu Mkuu wa Sekretariati ya Jumuiya
ya Afrika Mashariki Dkt. Richard Sezibera (kushoto) akutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Dkt. Aziz P. Mlima. Dkt. Sezibera alikutana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje kwa madhumuni ya kusalimia pamoja na kutoa taarifa fupi ya masuala mbalimbali yanayoendelea katika Jumuiya.
Kutoka kushoto ni Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje ambao ni Mkurugenzi wa Siasa, Ulinzi na Usalama, Bw. Stephen Mbundi; Mhandisi John Kiswaga; Bw. Amos Tengu na Bw. Antony Ishengoma wakifuatilia mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea.
Kutoka kushoto ni Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje ambao ni Mkurugenzi wa Siasa, Ulinzi na Usalama, Bw. Stephen Mbundi; Mhandisi John Kiswaga; Bw. Amos Tengu na Bw. Antony Ishengoma wakifuatilia mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea.
Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje akutana na Kaimu Mkurugenzi wa TAKUKURU
Nafasi za Kazi UNEP.
Job Openings
Applications from women candidates are strongly encouraged.
The United Nations does not charge a fee at any stage of the recruitment process (application, interview meeting, processing, training or any other fees). The United Nations does not concern itself with information on bank accounts.
Job Title | Level | Job ID | Job Network | Job Family | Department/Office | Duty station | Deadline |
---|---|---|---|---|---|---|---|
ADMINISTRATIVE OFFICER | P-3 | 52332 | Management and Administration | Administration | United Nations Environment Programme | COPENHAGEN | 24/03/2016 |
SENIOR PROGRAMME MANAGEMENT OFFICER | P-5 | 50054 | Economic, Social and Development | Programme Management | United Nations Environment Programme | GENEVA | 20/03/2016 |
SENIOR PROGRAMME MANAGEMENT OFFICER | P-5 | 52647 | Economic, Social and Development | Programme Management | United Nations Environment Programme | NAIROBI | 12/03/2016 |
Associate Programme Management Officer (Marine: Project Post), | P-2 | 52040 | Economic, Social and Development | Programme Management | United Nations Environment Programme | ABU DHABI | 19/02/2016 |
Programme Management Officer | P-3 | 48410 | Economic, Social and Development | Programme Management | United Nations Environment Programme | NAIROBI | 14/02/2016 |
SENIOR PROGRAMME MANAGEMENT OFFICER | P-5 | 49433 | Economic, Social and Development | Programme Management | United Nations Environment Programme | NAIROBI | 11/02/2016 |
SENIOR COORDINATION OFFICER (Project Post) | P-5 | 50630 | Economic, Social and Development | Programme Management | United Nations Environment Programme | TOYAMA | 10/02/2016 |
DEPUTY COORDINATOR, Mediterranean Action Plan | P-5 | 50553 | Economic, Social and Development | Programme Management | United Nations Environment Programme | ATHENS | 07/02/2016 |
SENIOR ADMINISTRATIVE OFFICER | P-5 | 50105 | Management and Administration | Administration | United Nations Environment Programme | NAIROBI | 07/02/2016 |
SPECIAL ASSISTANT, ADMINISTRATION [Cancelled] | P-3 | 49435 | Management and Administration | Administration | United Nations Environment Programme | NAIROBI | 05/02/2016 |
Subscribe to:
Posts (Atom)