Tuesday, January 26, 2016

Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje akutana na Kaimu Mkurugenzi wa TAKUKURU

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Aziz Mlima (kulia), amekutana na kufanya mazungumzo na Kaimu Mkurugenzi wa TAKUKURU, Bw. Valentino Mlowola. Mazungumzo hayo yalifanyika Wizarani tarehe 26 Januari, 2016.
Mazungumzo yakiendelea huku Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi  Baraka Luvanda na Afisa Mambo ya Nje, Bw. Elisha Suku (wa kwanza kulia) wakifuatilia.

Picha na Reginald Philip 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.