Thursday, January 14, 2016

Waziri Mahiga apokea Hati za Utambulisho za Mwakilishi mpya wa UNICEF nchini

Mhe. Waziri Mahiga (kulia), akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Bi. Maniza Zaman

Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashiriki, Kikanda na  Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (Mb.)  akizungumza na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Kimataifa ya Kuhudumia Watoto  (UNICEF), Bi. Maniza Zaman alipokuja Wizarani kwa ajili ya kuwasilisha  Hati za Utambulisho wake kwa Mhe. Waziri Mahiga.
Bi. Maniza Zaman naye akizungumza na Waziri Mahiga kabla ya kukabidhi Hati zake. 
Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa wakifuatilia kwa makini mazungumzo kati ya Waziri Mahiga na Bi. Zaman (hawapo pichani). Kutoka kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali Bi. Mindi Kasiga, Bi. Eva Ng'itu, Afisa Mambo ya Nje na Katibu wa Waziri, Bw. Thobias Makoba.
Dkt. Mahiga akiwa katika picha ya pamoja na Bi. Maniza Zaman


Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.