Friday, January 22, 2016

Balozi Haule akutana na Balozi wa Hungary.


Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Mhe. John Michael Haule  akikabidhi zawadi kutoka Tanzania kwa  Balozi wa Hungary nchini mwenye makazi yake Nairobi, Mhe. Laszlo Mathe mara baada ya kukutana kwa mazungumzo Jijini Nairobi. Serikali ya Hungary imetoa nafasi 30 za masomo kwa Tanzania kwa miaka mitatu kuanzia mwaka huu. Wawakilishi hao wa Nchi pia walizungumzia ushirikiano wa kiuchumi, ambapo Hungary imeahidi kushawishi wawekezaji kuanzisha miradi ya ubia ya viwanda itakayolenga uhamishaji wa teknolojia kwa Tanzania

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.