| Mhe. Rais Magufuli akimtambulisha kwa Balozi Shabat Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Susan Kolimba (Mb.). |
| Mhe. Balozi Shabat akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Bw. Batholomeo Jungu. |
| Mhe. Rais Magufuli akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi Shabat |
| Mhe. Rais Magufuli akiwa kwenye mazungumzo na Balozi Shabat mara baada ya kupokea Hati zake za Utambulisho |
| Mazungumzo yakiendelea |
| Balozi Shabat akisaini Kitabu cha wageni alipowasili Ikulu kwa ajili ya kuwasilisha Hati za Utambulisho |
| Mkurugenzi Msaidizi katika Idara ya Itifaki, Bw. James Bwana akifuatilia wimbo wa Taifa |
| Balozi Shabat akiagana na Kiongozi wa Bendi ya Polisi. |
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.