Monday, January 11, 2016

Balozi Mulamula akabidhi Ofisi kwa Katibu Mkuu mpya wa Mambo ya Nje

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Aziz Ponary Mlima (kulia) akipokea nyenzo mbalimbali za kufanyia kazi kutoka kwa aliyekuwa Katibu Mkuu, Balozi Liberata Mulamula wakati wa makabidhiano rasmi ya Ofisi yaliyofanyika Wizarani tarehe 11 Januari, 2016.
Katibu Mkuu, Balozi Mlima (mwenye tai)  akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi Mulamula (kushoto). Wengine katika picha ni Naibu Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirkiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Ramadhani  Muombwa Mwinyi  (kulia) na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Balozi Simba Yahya (wa pili kulia).

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.