Wednesday, January 6, 2016

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana kwa mazungumzo na Balozi wa India nchini

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Suzan Kolimba (Mb.) akizungumza na Balozi wa India nchini, Mhe. Sandeep Arya (kushoto), katika mazungumzo yao Mhe. Kolimba aliupongeza Ubalozi wa India kwa kuendelea kuboresha mahusiano kati ya Tanzania na India katika Sekta mbalimbali ikiwemo Sekta ya maji. Kwa upande, Balozi Arya alimpongeza Mhe. Naibu Waziri Kolimba kwa kuteuliwa katika wadhifa huo.
Balozi Arya naye akizungumza alipokutana na Naibu Waziri, Mhe. Dkt. Kolimba
Mkutano ukiendelea.


Picha na Reginald Philip.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.