Friday, October 12, 2012

Mhe. Naibu Waziri apokea Hati za Utambulisho za Mwakilishi wa UNICEF hapa nchini

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Mahadhi Juma Maalim (Mb.) (kushoto) akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Bw. Jama Gulalid, Mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) hapa nchini.

Mhe. Naibu Waziri akifafanua jambo wakati wa mazungumzo  na Bw. Gulalid mara baada ya kupokea Hati za Utambulisho.

Bw. Gulalid akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kukabidhi Hati zake za Utambulisho kwa Mhe. Naibu Waziri (hayupo pichani).

Mhe. Naibu Waziri akifurahia jambo wakati wa kuagana na Bw. Gulalid mara baada ya mazungumzo yao.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.