Monday, October 15, 2012

Mkurugenzi wa Asia akutana na Mwakilishi wa Heshima wa Australia hapa nchini

Balozi Mbelwa Kairuki (kushoto), Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akimkaribisha Ofisini kwake Bw. Thiery Murcia, Mwakilishi wa Heshima wa Australia hapa nchini alipomtembelea leo.

Balozi Kairuki akiwa katika mazungumzo na Bw. Murcia.

Balozi Kairuki akimsikiliza kwa makini Bw. Murcia alipokuwa akizungumza nae.

Balozi Kairuki akipitia moja ya nyaraka muhimu alizokabidhiwa na Bw. Murcia wakati wa mazungumzo yao.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.