Thursday, September 5, 2013

Kaimu Mkurugenzi wa Mashariki ya Kati akutana na Naibu Balozi wa Urusi kwa mazungumzo


Naibu Balozi wa Urusi hapa nchini, Bw. Vincent Kalchenko (kushoto) akimweleza jambo Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Elibariki Maleko wakati wa mazungumzo yao kuhusu mgogoro wa Syria. Mazungumzo hayo yalifanyika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa tarehe 5 Septemba, 2013.

Bw. Maleko akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo yao.

Mazungumzo yakiendelea kati ya Bw. Maleko na Bw. Kalchenko huku Bw. Emmanuel Luangisa (kulia), Afisa Mambo ya Nje akinukuu mazungumzo hayo.

Bw. Maleko akiagana na  Bw. Kalchenko mara baada ya mazungumzo yao.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.