Friday, September 13, 2013

Mkurugenzi wa Ushirikiano wa Kimataifa akutana na Mwakilishi wa UNFPA nchini


 

Balozi Celestine Mushy akimkaribisha Wizarani Naibu Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu  (UNFPA) nchini Tanzania Bibi Mariam Khan.

Bibi Khan akimweleza jambo Balozi Mushy kuhusu majukumu mbalimbali yanayotekelezwa na Shirika lake hapa nchini
 
Balozi Mushy akiendelea na mazungumzo na Bibi Mariam Khan.

Afisa Mambo ya Nje, Bw. Amos Tengu akifafanua jambo wakati wa mazungumzo kati ya Balozi Mushy na Bibi Mariam Khan. Kushoto kwa Bibi Khan ni Bi. Dorothy Temu-Usiri Afisa Mwandamizi  wa UNFPA hapa nchini.

 
 
Picha na Reginald Philip Kisaka

 


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.