Monday, September 23, 2013

Mhe. Rais Kikwete ampigia simu Rais Kenyatta kuhusu shambulio la ugaidi Kenya


 
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone:
 
255-22-2114512,2116898
 
E-mail:ikulumawasiliano@yahoo.com  press@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425PRESIDENT’S OFFICE,THE STATE HOUSE,P.O. BOX 9120,DAR ES SALAAM.Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais Kikwete ampigia simu Rais Kenyatta kuhusushambulio la ugaidi Kenya, asema amekasirishwa nakitendo hicho
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amezungumza kwa simu na Rais UhuruKenyatta wa Kenya na kumpa pole na kutaka kujua jinsi gani Tanzania inaweza kusaidia kufuatia shambulio la kigaidikwenye KituchBiashara chWestgate katika eneo laWestlands, Nairobi, ambako watu 59 wameuawa na wengine175 wamejeruhiwa.Rais Kikwete alimpigia simu Rais Kenyatta jioni ya jana, Jumamosi, Septemba 21, 2013, kutokea mjini New York,Marekanimara baadya kuwasili mjinhumo akitokea Toronto, Canada, ambako alifanya ziara ya kikazi ya siku tatu.Katika mazungumzo kati ya viongozi hao, Rais Kikweteamemweleza Rais Kenyatta mshtuko na hasira yake kutokanana taarifa za kusikitisha za shambulio hilo la kigaidi lililofanywaasubuhi ya jana hiyo hiyo.Rais Kikwete amefuatilia mazungumzo hayo kwa salamurasmi za rambirambi ambazo Rais Kikwete amemtumia RaisKenyatta akielezea masikitiko na hasira yake kufuatia mauajihayo ya watu wasiokuwa na hatia akitaka kujua jinsi Tanzaniainaweza kusaidia juhudi za Serikali ya Kenya katika kukabilianana madhara ya tukio hilo na balaa la ugaidi kwa jumla.Katiksalamhizzrambirambi, Rais KikweteamemwelezRais Kenyatta:
“Nimekupigia simmapemaleo kuelezea mshtuko na hasira yangu baada ya kusikiahabari za kusitikisha za shambulio la kigaidi lililotokeaasubuhi ya leo, Jumamosi, Septemba 21, 2013, kwenyeKituchBiasharchWestgatkatikenela
 
Westlands na kusababisha vifo vya watu 59 na mamiaya majeruhi.”
 Katika salamu zake hizo za rambirambi RaisKikweteamesema:
KwniabySerikalyJamhuryaMuunganwa Tanzaniankwhakika, kwniabayangu mwenyewe, napenda kutuma salamu za dhati yamoyo wangu kwako wewe, kwa Serikali ya Jamhuri yaKenya na kwa familia zote zilizopotelewa na wapendwawao katika shambulio hili. Sala zetu na pole zetu nyingi  ziko pamoja na wale wote ambao wameathiriwa nashambulio hili la kutisha. Aidha, tunawatakia walioumiakasi ya kupona.”
AmeongezRais Kikwete:
“Shambulio hili linalengakuitisha Serikali nWananchhodari wKenynakudhoofishniyaykutimizwajibwawakihistoria wa kuunga mkono jitihada za kuleta amani katika nchi jirani na yenye matatizo ya Somalia.”“Kwa maana hiyo, shambulio hilo la woga na lisilona huruma kabisa dhidi ya watu wasiokuwa na hatia,lazimlilaaniwna kushutumiwa vikali na wapendaamani wote”
.
Tuna hakika kuwa chini ya uongozi wako imara,Serikali ya Kenya itahakikisha kuwa wote waliohusikakufanya kitendo hiki wanasakwa nakufikishwa mbele yavyombo vysheria kama ambavySerikali imepatakufanyhuknyuma,
RaiKikwete amesisitiznakuongeza:
“Serikali na wananchi wa Jamhuri ya Muungano waTanzania wanasimama bega kwa bega na kaka na dada zao wa Kenya katika kipindi hiki kigumu. Aidha, Serikali ya Tanzania inapenda kuihakikishia Serikali ya Kenyaitaendelea kuiunga mkono na kushirikiana nayo katikakupambana na balaa la ugaidi katika sura zake zote.”
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,Ikulu,
DAR ES SALAAM.
22 Septemba, 2013

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.