Sunday, September 29, 2013

Mhe. Membe akutana kwa mazungumzo na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Urusi na New Zealand na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi, Mhe.Sergei Lavrov walipokutana kwa mazungumzo  mjini New York wakati wa Kikao cha 68 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
 
Mhe. Membe akiongozana na Mhe. Lavrov kuelekea kwenye meza ya mazungumzo.
Mhe. Membe na Mhe. Lavrov wakizungumza kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya nchi hizi mbili.


               -------------------------------------------                    

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, Mhe. Deepak Obhrai walipokuna mjini New York kwa mazungumzo wakati wa Kikao cha 68 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kinachoendelea mjini humo.

Mhe. Membe akimweleza jambo Mhe. Obhrai walipokutana.
 
Mhe. Membe akimsikiliza Mhe. Obhrai.

Mhe. Obhrai na Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika, Balozi Dora Msechu katika picha ya pamoja.


----------------------------------------------
 

Mhe. Membe akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa New Zealand, Mhe. Murray McCully walipokutana mjini New York wakati wa Kikao cha 68 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
 
Mhe. Membe akimweleza jambo Mhe. McCully.
 
Ujumbe wa New Zealand wakati wa mazungumzo.
 
Balozi Msechu wakati wa mazungumzo akiwa na Bw. Grayson Ishengoma, Afisa Mambo ya Nje.

Mazungumzo  yakiendelea
 

Mhe. Membe akiagana na Mhe. McCully walipomaliza mazungumzo yao.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.